Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

Monday, 21 October 2013

WENGER ATANIA JINSI KITABU CHA FERGUSON KITAKAVYOKUWA


Kocha wa Arsenal,Arsene Wenger amatania na kusem huenda Alex Feguson akaandika kufungwa kwa timu yake katika michezo yao walicheza katika mashindano mbalimbali.

RATIBA YA USIKU WA UEFA;BARCA NA MILAN,ARSENAL NA DORTMUND

Lionel Messi and Riccardo Montolivo


Ligi ya mabingwa barani ulaya inatarajiwa kuendelea tena usiku wa kesho kwa kuchezwa michezo kadha wa kadha,ipo michezo itakayogusa hisia za mashabiki wengi wa ska kutoka sehemu mbalimbali barani ulaya.Mchezo kati ya Arsenal na Dortumd ni moja kati ya mchezo utakao kuwa mkali na wakusisimua kutokana na timu zote kugombania nafasi ya kwanza ya kuongoza kundi hilo ili kujiweka katika mazingia mazui ya kufuzu hatua ya 16 bora.

WENGER;BADO MANCHESTER IPO KWENYE MBIO ZA UBINGWA

Wenger: Man Utd not out of title race yet
Kocha a Arsenal,Asene wenger

Kocha wa Arsenal,Arsenal Wenger amesema hawezi kuitoa Manchester United katika mbio za kutwaa ubingwa wa ligi kuu nchini Engand msimu huu.

FAHAMU TOP 10 YA MSHAHARA KWA WACHEZAJI WA LIVERPOOL


Nahodha wa Liverpoool,Steven Gerald

Klabu ya soka ya Liverpool ni moja ya klabu yeynye historia kubwa ya soka katika soka la Uingereza,barani ulaya na hata dunuani kote,wapo watuwanaosababisha historia ya klabu hii izidi kukuwa siku hadi siku,kuna jopo zima la klabu hiyo lakini kazi yao inakamilishwa uwanjani na wachezaji wa timu hiyo ndo wanaowakilisha.

MASHABIKI 20 WAZIMIA KATIKA PAMBANO LA SIMBA NA YANGA

Mmoja ya mshabiki akiwa amebebwa kwenye machela baada ya kuzimia 
MECHI ya Simba na Yanga ilikuwa presha tupu kwani zaidi ya mashabiki 20 wa timu hizo mbili wengi wao wakiwa wanawake, walizimia kwenye mchezo huo uliochezwa jana Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na matokeo kuwa sare ya 3-3.

MBWEMBWE ZA MRISHO NA ADABU YA MPIRA


UNATAKA kujua kwa nini Afrika haijachukua Kombe la Dunia mpaka sasa? Basi dakika ya 40 ya kipindi cha kwanza jana Jumapili ingekudhihirishia.

KUELEKEA KOMBE LA DUNIA DRAW YATOLEA BARANI ULAYA,URENO USO KWA USO NA SWEDEN

World Cup play-off draw: Portugal meet Sweden, France face Ukraine
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo

Draw ya timu mblimbali za taifa barani ulaya kwa ajili ya kucheza kombe la dunia mwakani 2014 inchini Brazil imefanyika mchana wa leo na kuishuhudia timu ya soka ya Ureno inayoongozwa na nyota Cristiano Ronaldo ikipangiwa kucheza na timu ya taifa ya Sweden inayoongozwa na Ibrahimovich maarufu kama Ibrakadabra.

Sunday, 20 October 2013

KASEJA AWEKA REKODI NYINGINE,AANGALIA MECHI YA WATANI WA JADI JUKWAA KWA MARA YA KWANZA

Alikuwa kipa wa Simba Juma Kaseja

KWA mara ya kwanza baada ya miaka kumi kipa namba moja wa timu ya soka ya taifa, Taifa Stars, Juma Kaseja, anakosa hata kuwapo kwenye benchi la akiba pale watani hao watakapovaana Jumapili.

KADI YA ATM YA FERGUSON INAVYOTABASAMU


Alikuwa kocha wa Man U,Sir Alex Ferguson
KABLA haujakata roho, kuna vitu 50 vya michezo ambavyo unapaswa kuvifanya. Aprili 2004, Gazeti la Observer la Uingereza liliandika kuwa tukio la kwanza kati ya matukio hayo ni kutazama pambano la SuperClasico. Unalifahamu pambano hili?

LUKAKU;CHELSEA IMETOA MKOPO GARI LA MAGOLI

Mshambuliaji wa Eveton,Romeo Lukaku

WAKATI washambuliaji wa kocha, Jose Mourinho, katika klabu ya Chelsea wakiwa wamekaukiwa mabao, inashangaza kuona kocha huyo amemtoa kwa mkopo staa wake wa Ubelgiji, Romelu Lukaku, ambaye anafunga kadri anavyojisikia katika klabu ya Everton.

Friday, 18 October 2013

SOMA MAKALA YA KUSISIMUA INAYOSEMA; SOKA LA TANZANIA NA HOTUBA YA MARTN LUTHER KING JR

.


Agust 28 -2013 mwanaharakati wa haki za kibinadamu Matin Luther King Jr,alikamilisha miakahamsini tangu atoe hotuba yake ya ‘I have a Dream’
Kwa wakati huo Martin Luther akitoa hotuba hio mbele ya umati wa wamarekani,watu wengi waliona kama ni ndoto tena isiokuwa ya kwel,katika hotuba yake alieleza ni kwa jinsi gani ana ndoto siku moja mtu mweupe na mtu mweusi watakuwa na haki sawa duniani kila mmoja atamwona mwingine ana dhamani.

AL AHLY KUINGIA IWANJANI NA MATATIZO


Al Ahly inaingia katika mechi ya mkondo wa pili wa michuano Klabu Bingwa barani Afrika dhidi Coton Sport mwishoni mwa wiki huku ikikabiliwa na matatizo lukuki.

Tuesday, 15 October 2013

DAKTARI ANAPOSEMA MADRID IMELIWA KWA BALE

Gareth Bale mshambuliaji wa Real Madrid
MREMBO, Daniela Saurwald, ambaye ni mchumba wake hakuwapo hospitali sawa, lakini mama mzazi, Nancy, hakutaka kabisa kusubiri nyumbani.

HASLEY AWACHANA WAAMUZI EPL


Mark Hasley 
Kocha mstaafu, Mark Halsey amewachana baadhi ya waamuzi wa Ligi Kuu ya England (EPL), akisema wanaiharibu ligi na baadhi wanahitaji msaada.

BUNDI KUKWAMISHA UJENZI WA UWANJA WA LIVERPOOL

Muonekano wa uwanja wa Aflied wa Liverpool.

Bundi wanaelekea kukwamisha mipango ya kuendeleza uwanja wa Anfield unaomilikiwa na Liverpool.

GERALD;TUNATAKIWA KUWA KAMA MIZIMU ILIYOHAI USIKU W LEO

England v Poland: captain Steven Gerrard ready to lead the 'ghostbusters' as Three Lions attempt to put past qualifying miseries behind them
Nahodha wa timu ya taifa ya England Steven Gerald


Kiungo na nahodha wa timu ya taifa ya Uingereza Steven Gerald amewaambi wachezaji wa timu ya taifa wenye umri mkubwa na wenye umri mdogo kusahau yaliyopita na kupambana usiku wa leo na kuhakikisha wanapata ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Polland ili kufuzu kwenda kushiriki kombe la dunia mwakani inchini Brazil.

FERGUSON;MAN U WANAPASWA WASHIKAME HATA KATIKA KIPINDI KIGUMU

Ferguson: Manchester United must stand together during hard times
Kocha wa zamani wa man U,Sir Alex Ferguson kulia na kushoto ni
 kocha wa sasa David Moyes.



Kocha wa kihistiria wa Manchesster United Sir Alix Feguson amesisitiza klabu hiyo haina budi kukubaliana na kila hali itakayotokea kutoka kwa kocha wa sasa wa timu hiyo David Moyes.Akiongea na waandishi wa habari Ferguson alisema,,,

WACHEZAJI NIGERIA WAJERULIWA ETHIOPIA

Nosa Igiebor alijeruhiwa na jiwe mkononi
Mchezaji soka wa Nigeria, Nosa Igiebor alijeruhiwa vibaya wakati timu yao iliposhambuliwa mjini Addis Ababa baada ya mchuano wao wa mchujo dhidi ya Ethiopia katika kutafuta nafasi ya kushirki kombe la dunia mwaka ujao nchini Brazil.

TIMU YA VIJANA UFARANSA KUTAFUTA NAFASI YA EURO 2015

Geoffrey Kondogbia na Florian Thauvin
Geoffrey Kondogbia
Timu ya taifa ya Ufransa ya vijana inashuka dimbani leo Jumatatu Octoba 14 kumenyana na Irland ambayo inakuja juu ya Ufaransa kwa pointi katika kuwania kufuzu kombe la Ulaya mwaka 2015. Iwapo Ufaransa itashinda mechi hiyo itachukuwa nafasi ya kwanza katika kundi hilo.

Saturday, 12 October 2013

ZIFAHAMU NCHI ZILIZOKIKATIA TIKETI YA KWENDA BRAZIL

Germany, Belgium & the nations that have qualified for the World Cup


Baada ya michezo mbalimbali kuchezwa katika timu zinazogombania kucheza kombe la dunia inchini Brazil,zipo inchi mbazo tayari bado hazijafuzu kwa sababu ya kigezo cha pointi na wapo wengine wameshafuzu kwa sababu ya wingi wa pointi katika makundi yao na hata katika mabara wanaotoka