Showing posts with label FAHAMU ZAIDI. Show all posts
Showing posts with label FAHAMU ZAIDI. Show all posts

Thursday, 3 October 2013

KATIKA FAHAMU ZAIDI;OZIL ATISHA KWA PASI ZA MWISHO


Mesut Ozil
Kiungo Mesut Ozil ametengeneza nafasi 15 za magoli(assit pass)toka mwaka 2010 kwenye ligi ya mabingwa ni, zaidi

Wednesday, 2 October 2013

HUU NDIO WIMBO ANAOIMBIWA FLAMINI NDANI YA EMIRAMITES

Flamini

Ubora aliounesha kiungo Mathe Flamin umepelekea imani kubwa kwa mashabiki a Arenal hivyo kuiwimbia mashairi ya wimbo kila anapocheza mpira katika uwanja wa Emirates..

WENGER AZIDI KUWEKA REKODI NDANI YA ARSENAL

Arsene Wenger

Kama Arsene Wenger atapoteza michezo 130 ijayo(asishinde mchezo hata mmoja)bado atakuwa

Saturday, 28 September 2013

Thursday, 19 September 2013

FAHAMU ZAIDI;YAYA TOURE NI ZADI YA WACHEZAJI MAN U KWA PASI


Kiungo wa Man City,Yaya Toure
Yaya Toure amepiga pasi nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Man United,,

ANGALIA PICHA 12 ZINAZOTHIHIRISHA UFAHARI WA UWANJA WA ALLIANZ ARENA

Uwanja wa Allianz arena

Uwanja wa Allianz arena unaotumiwa na klabu ya Bayern munich ya ujerumani inayoshirikki ligi kuu inchini ujerumani na ni bingwa mtetezi wa kombe la Uefa champions league,uwanja huu unakumbukwa sana na mashabiki wa klabu ya,,,

FAHAMU TOP 10 YA WACHEZAJI WANAOMILIKI MAGARI YA KIFAHARI

Bugatti Veyron super sport
Katika maisha yakawaida mtu hufanya mambo ya kawaida,kama anahitaji jambo la kifahari basi
itabidi libaki katika akili na mawazo yake au ndoto ambazo haziwezi kutokea,,

Monday, 16 September 2013

IFAHAMU TOP 10 YA WACHEZAJI WA GOFU DUNIANI.

Mchezo wa gofu umekuwa ni mchezo uliojizolea umaarufu kadri siku zinavyozidi kwenda hasa kwa inchi za mataifa yenye majina makubwa na uwezo mkubwa kiuchumi kama,,

Saturday, 7 September 2013

DAKTARI FEKI ALIYENASWA KCMC KILIMANJARO

  Daktari feki aliyenaswa katika hosptali ya KCMC aliyetambulika kwa jina la Alex Massawe akiwa amefungwa pingu mikononi mwake katika eneo la hosptali hiyo.

Daktari Feki akisindikizwa na baadhi ya wafanyakazi wa hosptali ya KCMC kutoka katika moja ya wodi ambayo alikuwa 'akihudumia'.…
  Daktari feki aliyenaswa katika hosptali ya KCMC aliyetambulika kwa jina la Alex Massawe akiwa amefungwa pingu mikononi mwake katika eneo la hosptali hiyo.
Daktari Feki akisindikizwa na baadhi ya wafanyakazi wa hosptali ya KCMC kutoka katika moja ya wodi ambayo alikuwa 'akihudumia'.

Ofisa Uhusiano wa KCMC, Gabriel Chisseo (kushoto) akimwonesha Daktari Feki, Alex Massawe.
Daktari Feki akiwa katika gari la polisi tayari kupelekwa kituoni.
Uongozi wa Hospitali ya Rufaa ya KCMC ya mjini Moshi, jana ulimnasa 'Daktari Feki' aitwaye Alex Sumni Massawe (33).
Massawe alikamatwa saa 5:00 asubuhi ndani ya hospitali hiyo na kuwekwa chini ya ulinzi mkali wa makachero wa Jeshi la Polisi waliokuwa wamevalia nguo za kiraia.
Inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa amepanga kumfanyia upasuaji wa ngozi, Makasi Tipesa ambaye anasumbuliwa na ugonjwa huo baada ya kukutana na mama yake na kumuahidi kumpatia huduma kwa malipo ya Sh. 200,000.

Thursday, 5 September 2013

EXCLUSIVE NDANI YA MIELEKA;MFAHAMU MTU WA KWANZA KUANZISHA MCHEZO HUO

The%20history%20of%20WWE%20begins%20with%20Mr.%20McMahon
Mr. McMahon
June 6, 1982
Mr. McMahon Buys Capitol Wrestling
 Mheshimiwa McMahon alikuwa kuchukuliwa kuwa ni mtu wa juu katika..

Tuesday, 3 September 2013

EXCLUSIVE KATIKA FAHAMU ZAIDI SOMA HAPAA



Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Hispania Luis Suarez alianza kucheza mpira kwenye mtaa....