Saturday, 8 February 2014

SEEDORF;BALOTELI ANASTAHILI KUKUA

Seedorf shrugs off Balotelli tears: He still needs to grow up



Kocha mpya wa klabu ya soka ya Clarence Seedorf Ac Millan amemwambia mshambuliaji mtukutu wa timu hiyo  Mario  Baloteli  anahitaji  kukua baada ya kumalizika kwa mchezo wao dhidi ya Napoli uliishuhudia Ac Millan ikifungwa 3-1.

Akiongea na waandishi wa habari  Sedorf alisema  Balotel  anahitaji kubadilika,Ni kweli kuna wakati mtu anahitaji kujidhihirisha kama kijana,,,ukiangalia yeye  ana umri wa miaka 23,

Baloteli  alionekana akilia mara baada ya kutolewa nje  baada ya kukosa bao la wazi

Akizungumzia tukio hilo Seedorf alisema  haoni kama kuna tatizo,Anahitaji  kukuwa  kwa ujumla,alicheza vizuri  sana michezo miwili iliyopita labda jana hakuwa na mchezo mzuri  ladba jana hakupata nafasi za kutosha.

Kuna vitu  anahitaji kuviongeza na mimi npo tayari kumsaidia juu ya eimu ya mambo hayo.

 

No comments:

Post a Comment