Monday, 21 October 2013

RATIBA YA USIKU WA UEFA;BARCA NA MILAN,ARSENAL NA DORTMUND

Lionel Messi and Riccardo Montolivo


Ligi ya mabingwa barani ulaya inatarajiwa kuendelea tena usiku wa kesho kwa kuchezwa michezo kadha wa kadha,ipo michezo itakayogusa hisia za mashabiki wengi wa ska kutoka sehemu mbalimbali barani ulaya.Mchezo kati ya Arsenal na Dortumd ni moja kati ya mchezo utakao kuwa mkali na wakusisimua kutokana na timu zote kugombania nafasi ya kwanza ya kuongoza kundi hilo ili kujiweka katika mazingia mazui ya kufuzu hatua ya 16 bora.Mchezo mwingine ni kati ya Barcelona watakaowakaribisha Ac Millan.Huu ni mchezo bora na wenye upinzani mkubwa kutokana na historia ya timu zte mbili kuwa na upinzani mkubwa pindi zinapokutana na zote zinagombania nafasi ya kuongoza katika kundi lao ili kufuzu kwende roundi ya 16 bora.Kwa atiba zidi ya michezo mingine fuatili hapa

Tuesday 22 October 2013

FC PortovZenit St PetersburgEstadio do Dragao20:45
FC Schalke 04vChelseaVELTINS-Arena20:45
ArsenalvBorussia DortmundEmirates Stadium20:45
CelticvAjaxCeltic Park20:45
FK Austria WienvAtltico de MadridGenerali Arena20:45
MarseillevNapoliStade Vlodrome20:45
MilanvBarcelonaGiuseppe Meazza20:45
Steaua BucharestvBaselStadionul Ghencea20:45
   

No comments:

Post a Comment