Katika ripoti ya kila mwaka inayotolewa na Shirikisho la mchezo wa Rugby nchini Uingereza inayohusu mapambano dhidi ya matumizi ya dawa za kujiongezea nguvu na kubainisha kuwa wachezaji waliobainika wataadhibiwa kwa siri na kutozwa faini.
Vipimo hivyo vinafanyika chini ya Mpango wa shirikisho hilo baada ya mfululizo wa vipimo nje ya michuano.
Uamuzi wa kuchukua vipimo kwa wachezaji kumeanza mwaka 2009 baada ya miaka 4 baadaye ambapo wachezaji waliondolewa katika michuano baada ya kugundulika kutumia madawa ya kujiongezea nguvu.
Wachezaji waliobainika kupitia vipimo hivo watahifadhiwa bila kutajwa hadharani ikiwa hatawarudia tena vitendo hivyo.
Vipimo hivyo vinafanyika chini ya Mpango wa shirikisho hilo baada ya mfululizo wa vipimo nje ya michuano.
Uamuzi wa kuchukua vipimo kwa wachezaji kumeanza mwaka 2009 baada ya miaka 4 baadaye ambapo wachezaji waliondolewa katika michuano baada ya kugundulika kutumia madawa ya kujiongezea nguvu.
Wachezaji waliobainika kupitia vipimo hivo watahifadhiwa bila kutajwa hadharani ikiwa hatawarudia tena vitendo hivyo.
No comments:
Post a Comment