Thursday, 24 October 2013

TETESI ZA MAGAZETI ULAYA;BARCA WAMFUNGIA KAZI WELSHERE

Kiungo wa Arsenal,Jack Welshere


klabu ya  soka ya Barcelona inataka kuanzisha mazungumzo na klabu ya Arsenal kuhusu kumsajili kiungo wa timu hiyo Jack Welshere
kwa ajili ya kuziba pengo la kiungo mkongwe,Xavi Hendanez katika majira ya joto msimu ujao.Source: Daily Star



kocha Jose Morinho ameahidi kumsajili kiungo Sami Khedira na kuzikataa tetesi za kiungo huyo wenda Manchester United.Source: Daily Express

Tottenham Spurs inatarajiwa kutuma kiasi cha Uero milion 28 kwa Aston Villa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji Benteke katika majira ya baidi mwezi january.Source: Daily Mail

Mlinzi wa Manchester United  Patrice Evra,anatarajiwa kuhama kwenye timu hiyo kwenda Monaco baada ya kukataa kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuchezea timu hiyo. 

No comments:

Post a Comment